Na
Paschazia Charles
Mashindano ya Dindai Cup 2026 yameendelea siku ya leo ikizikutanisha timu ya Iwelyangulya dhidi ya Home Boys na mechi kumalizika kwa suruhu yaani kutokufungana.
Iwelyangulwa 0-0 Home Boys.
Mechi za siku ya leo katika mashindano hayo ya Dindai Cup 2026 ni kati ya Busulwa sports academy dhidi ya C-Coy sports Club mechi hii itachezwa katika uwanja wa Pepsi uliopo kata ya Chamaguha Manispaa ya Shinyanga, kuanzia saa kumi kamili jioni.
Busulwa SA Vs C-Coy Sc
Matukio mbalimbali katika picha wakati wa mechi kati ya Iwelyangulya dhidi ya Home Boys.















