DINDAI CUP YAENDELEA KUTIMUA VUMBI BUSULWA WAIBUKA KIDEDEA DHIDI YA C-COY

 Na

Paschazia Charles 

Mashindano ya Dindai Cup yameendelea siku ya leo ikizikutanisha timu ya Busulwa Sports Academy dhidi ya C-Coy Sports Club na mechi imemalizika kwa Busulwa Sports Academy kushinda 1-0 dhidi ya C-Coy Sports Club.


Busulwa SA 1-0 C-Coy SC

Mechi za siku ya kesho katika mashindano hayo ya Dindai Cup ni kati ya Chipukizi Fc dhidi ya Katunda Fc academy .

Chipukizi Fc Vs Katunda Fc

Mechi hii itachezwa katika uwanja wa Pepsi uliopo kata ya Chamaguha Manispaa ya Shinyanga, kuanzia saa kumi kamili jioni.

Matukio mbalimbali katika picha wakati wa mchezo kati ya Busulwa Sports Academy dhidi ya C-COY Sports Club.


















Download/Pakua/Install App ya APA HABARI Google Playstore Bofya Hapa

Je, unayo taarifa ya kusisimua ambayo ungependa tuichapishe? Tafadhali, wasiliana nasi kupitia apahabarikadama@yahoo.com
Previous Post Next Post